Jionee uzuri wa Ziwa Tanganyika

 Ziwa Tanganyika ni moja ya ziwa kuwa linalopatikana Africa ya Mashariki likipita kwenye nchi kama Tanzania, Burundi,Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na Zambia,Ziwa hili ndio ziwa linaloshika namba moja kwa urefu( kina) kwenda chini ikiwa ni takriban 1,470m na eneo lenye ukubwa wa 32,900km².

A map showing Lake Tanganyika 



Shughuli kubwa inayofanyika katika ziwa Tanganyika ni Uvuvi wa samaki hasa aina ya migebuka(Sleek lates).Hii ikitoa fursa kwa wakazi wa maeneo haya kufanya shughuli ya Uvuvi na kujipatia kipato chao cha Kila siku




Samaki aina ya Migebuka inayopatikana haswa Ziwa Tanganyika 


Ziwa Tanganyika pia limekwa mhimiri mkubwa katika sekta ya utalii,Watu kutoka mataifa mbalimbali hutembelea ziwa Tanganyika kama sehemu ya kutalii na kujionea maajabu mbalimbali yanayopatikana ziwa Tanganyika.
Kwa nchi kama Tanzania ewe mgeni unakaribishwa sana kutembelea ziwa hili ili ujionee ukubwa wa ziwa hili lenye vivutio vingi na vizuri
Karibu sana Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ karibu ziwa Tanganyika.

Comments

Popular posts from this blog

WANYAMA 10 WANAOTISHA ZAIDI PORINI ( Usiombe kukutana nao❌)

🧳 Top 10 Travel Games to Keep Kids Entertained on the Go

The Benefits of Visiting Tourist Attractions Around the World